Mfumo wa usimamizi wa shule.
Walimu na uongozi: .
Wanafunzi: angalia matokeo, ripoti na taarifa muhimu kwa akaunti yako.
Tembelea matangazo na updates bila kuingia; kwa taarifa za shule na matukio.
Fungua matangazo kwa haraka kupitia “Matangazo”. Sehemu hii ni muhtasari wa huduma utakazopata.
Taarifa za vikao, ratiba, mahudhurio, na taarifa za wazazi.
Matukio ya shule, mitihani, michezo, na shughuli za kitaaluma.
Uingiaji salama kwa walimu na wanafunzi; faragha ni kipaumbele.
Lulindi Secondary School ni shule ya Serikali iliyopo Masasi, Mkoa wa Mtwara. Tunazingatia elimu bora, nidhamu, na malezi ili kumjenga mwanafunzi anayejiamini na mwenye maadili. Mfumo huu unarahisisha upatikanaji wa taarifa muhimu, matangazo, na huduma za kitaaluma kwa uwazi na usalama.
Kuinua ufaulu, kukuza nidhamu, na kuimarisha stadi za maisha.
Kushirikiana na wazazi na wadau kuboresha mazingira na rasilimali za shule.
Kuchochea ubunifu, uongozi, na kujitegemea kwa wanafunzi.
Kutoa elimu yenye viwango na ufuatiliaji wa karibu wa maendeleo.
Tunawakaribisha wanafunzi wanaotamani kuhamia Lulindi Secondary (Form 1–4), wageni wanaotaka kutembelea shule, na wadau wanaotamani kutoa support ya maendeleo (vitabu, maabara, michezo, au miundombinu).
Wasiliana nasi kwa maswali, uhamisho, au ushirikiano wa maendeleo.
Mr. Zawadi Liyohe
Mawasiliano ya uongozi kwa masuala ya shule na uhamisho.
0785 548 581
Piga kwa muda wa kazi; ukikosa, tuma ujumbe.
Masasi, Mtwara
Karibu kutembelea shule na kuona mazingira ya kujifunzia.